Skip to content
Scan a barcode
Scan
Paperback Kiraka Cha Ukombozi [Afrikaans] Book

ISBN: B08KJNM7GH

ISBN13: 9798618428774

Kiraka Cha Ukombozi

Uongozi mzuri hutendea watu haki. MFUTA KAULI-kiongozi mkuu wa nchi ya Ukiwa ambaye hujinasibu kuwapenda watu anaowaongoza, tena husema mara kwa mara kuwa anawatendea haki. Mara kadhaa ameshirikiana na wawekezaji wezi kuwanyang'anya mashamba yao. Wananchi Wengi wa nchi ya Ukiwa ni watu wasio na elimu- ni watu wenye Ukiwa wa elimu na ufahamu. Katikati ya hayo yote anaibuka kijana aitwaye KIRAKA, anadhamiria kuikomboa jamii hii kutoka kwenye unyanyasaji wa MFUTA KAULI.

Ujasiri wake katika kuziba matundu ya unyanyasaji na uonevu katika jamii ya nchi ya Ukiwa unaonyesha maana halisi ya jina lake.Kwa kufanya hivyo anajikuta ametangaza vita dhidi ya MFUTA KAULI. Maisha ya Kiraka yanabadilika na kuwa machungu, kila siku anawindwa na askari wa MFUTA KAULI. Watu wachache wanamuita mkombozi ila wengi wanamuona kuwa ni mtu hatari kwa usalama wa nchi ya Ukiwa. Hakati tamaa, anasonga mbele kwa ujasiri mkubwa.

WASIFU WA MWANDISHI.
MNIKO CHACHA ni mwandishi wa vitabu Vitano ambavyo ni;- Songs of African Fathers, Storms and Pleasures, Kiraka Cha Ukombozi, Weka Pesa Pata Pesa, na An Enemy of the Villagers. Mwaka huu, 2022 atachapisha riwaya mpya itakayojulikana kwa jina la 'Nitalipa Mahari na kuoa.'

Recommended

Format: Paperback

Condition: New

$8.79
50 Available
Ships within 2-3 days

Related Subjects

Fiction Literature & Fiction

Customer Reviews

0 rating
Copyright © 2025 Thriftbooks.com Terms of Use | Privacy Policy | Do Not Sell/Share My Personal Information | Cookie Policy | Cookie Preferences | Accessibility Statement
ThriftBooks ® and the ThriftBooks ® logo are registered trademarks of Thrift Books Global, LLC
GoDaddy Verified and Secured